Jamani karibuni tule.........! |
Huyu ni Baba yangu mdogo G LOVER |
Mimi, Gelly na Hemmedy |
Kwa ndani studio inaonekana hivi…………., kama unavyomuona mr. chocolate akiwa kazini kama producer na sio msanii tena…. Mwenyewe anakwambia hapa ni kazi tu hakuna kuremba aisee karibuni wooooote..! |
Hapa ndo studio kwenyewe sasa ambapo ngoma kali huwa zinatengenezwa ngoma za ki-chocolate flevaaaaaaa……..! |
Ukija sharobaro ukasikia meneja wala usishtukeaise huyu hayu hapa anitwa lilo boy au malilo……! |
Ukisha ingia ndani ya geti ukiwa unaelekea studio unaona mazingiza ya namna hii so usiogope coz ma sharobaro huwa hatuogopi ukiogopa we utakuwa si sharobaro labda utakuwa sharo uharooo… ha ha ha …….! |
Hii ni graphic ambaYo ipo kwa nje opposite na ilipo studio ya sharobaro ambapo ma sharobaro tukisha nyuka huwa tunapenda kupoa na kubadilisha ideas mbalimbali za kimuziki na ki maisha………….! |
Hivi ndivyo inavyooneka studio ya sharobaro kwa nje ukiwa unafika |
NIAJE WANA....???????? NDIVYO ASEMAVYO MR. CHOCOLATE FLEVA, HAPA AKIWA NA MDOGO WAKE!.. |
HICHI NDO KIJIWE CHA SHAROBARO AMBACHO WANA HUWA TUNAKAA NA KUBADILISHANA MAWAZO...! |
HII NDO OFFICIAL BANNER AMBAYO IKO KATIKA MATENGENEZO ITAANZA KUTUMIKA HIVI KARIBUNI....! |
MSHKAJI ANAKWENDA KWA JINA LA JUMA...NI MSANII MPYA CHINI YA LEBO YA SHAROBARO, UMEONA BANA!......! |
PETER MSECHU MSHINDI WA PILI KATIKA MASHINDANO YA TUSKER PROJECT FAME, NI MMOJA YA MARAFIKI WA STUDIO YA SHAROBARO . |