Tafuta

Wednesday, February 9, 2011

MO RACKA AIPONGEZA SHAROBARO

Msanii Mo Racka ameipongeza Sharobaro Recordz chini ya uongozi wake Mr. Chocolate, juu ya kuanzisha blog na mavazi yake na kusema ni hatua kubwa inayotakiwa kuungwa mkono na wasanii na lebo zote za muziki hapa nchini...

No comments:

Post a Comment